IBADA YA KWANZA YA JUMAPILI 2025: MWAKA WA KUSIMAMA KWENYE NAFASI KUCHUKUA MILKI YAKO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 фев 2025
  • Kanisa la Efatha Mbeya, linaongozwa na Mchungaji kiongozi wa mkoa wa Mbeya Joshua Josephat Mwingira.
    Kanisa lipo Mbeya Mjini: Forest Mpya karibu na Hospitali ya Mkoani Mbeya.
    RATIBA ZA IBADA
    Jumatatu: Semina ya wafanyabiashara na wafanyakazi
    Muda: Saa 11:00 jioni adi 1:00 Usiku
    Jumatano: Semina ya Kusifu na kuabudu
    Muda: Saa 10:30 jioni adi 12:00 jioni
    Alhamis: Semina ya Ukombozi wa Akili
    Muda: Saa 10:00 jioni adi 12:00 jioni
    Jumamosi: Semina ya Vijana
    Muda: Saa 10:00 jioni adi 12:00 jioni
    Jumapili: Ibada Maalumu ya Jumapili
    Muda: Saa 2:00 asubuhi adi 5:00 Asubuhi
    Karibu Upendwae sana.
    Mungu anakupenda

Комментарии • 5